Fahari ya Serengeti

Saturday, June 2, 2018

WAWATA PAROKIA YA MUGUMU WAONGOZA HIJA

 Baadhi ya Wawata Parokia ya Mugumu wilaya ya Serengeti wakiongoza matembezi ya hija kilometa saba ikiwa ni maandalizi ya jubilei tatu zinazotarajiwa kuadhimishwa mwaka huu jimboni humo.
 Paroko wa Kanisa katoliki Mugumu Joel Marwa akiongoza sala maalum kwa ajili ya kuanza hija kutoka Mugumu hadi Kigango cha Kibeyo.

 Maandamano yaliyoambatana na sala,maombi na kuabudu yanaendelea.
 Wawata kwa zamu wanaongoza maandamano ya hija.
 Maandamano yanaendelea.

 Nyimbo na burudani mbalimbali zimeanikiza maandamano hayo.
 Kituo maalum kwa ajili ya sala na kuabudu
 Safari inaendelea
 Wanakaza mwendo.
 Furaha ilizidi walipokaribia kufika kituo cha hija.

 Wawezeshaji wa hija toka Musoma hawakuwa nyuma katika safari hiyo ya kiroho.
 Picha ya Pamoja baada ya kazi nzito ilipigwa

0 comments:

Post a Comment