Fahari ya Serengeti

Friday, June 15, 2018

MRADI WA USAFI KWA AFYA WATOA TUZO KWA SHULE ZILIZOFANYA VIZURI



 Dc Serengeti Nurdin Babu wa tatu kutoka kushoto waliosimama akiwa pamoja na walimu ,maafisa elimu,watendaji wa vijiji na maafisa wa amref health tanzania baada ya kukabidhi tuzo kwa shule za msingi tatu ,Bisarara,Kisangura na Bonchugu zilizofanya vizuri katika masuala ya usafi wa mazingira chini ya Mradi wa Usafi kwa Mazingira unaotekelezwa na amref health tanzania.
 Mwalimu kutoka Kisangura shule ya msingi akipokea tuzo baada ya shule yake kushika nafasi ya pili
 Dc na maafisa wa elimu na amref
 William Mtwazi akitoa ufafanuzi

 Wanafuatilia
 Meneja mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti Godfrey Matumu akielezea kazi zinazotekelezwa na amref wilayani hapo.
 Mwalimu wa afya toka Bonchugu akipokea tuzo baada ya kushika nafasi ya tatu.
 wanafuatilia
 Mwalimu wa Bisarara shule ya Msingi akipokea tuzo baada ya shule hiyo kushika nafasi ya kwanza.
 Wakimeremeta na tuzo
 Anafurahia ushindi
 Picha ya Pamoja.


0 comments:

Post a Comment