Fahari ya Serengeti

Thursday, June 7, 2018

MAGETA FC USIPIME YAIBAMIZA ITUNUNU FC 4-0

 Mtanange kati ya Mageta Fc na Itununu Fc ukiendelea uwanja wa Sokoine Mugumu Serengeti ligi ya Mapesa Cup ambapo Mageta Fc imeshinda mabao 4-0.
 Ngoma inaendelea.
 Wanasalimiana kabla ya kuanza mpambano
 Kaza msuli hapa si lelemama
 Wanapeana huduma ya kwanza Mageta Fc
 Mambo yanazidi kunoga
 Wanapata mawaidha

 Ni bao mwamzi anapeleka mpira kati baada ya Itununu kufungwa

 mchezaji wa Itununu akiwa hoi chini baada ya kupigwa buti
 Naondoka hivyo wewe utabaki na labda
 Wanapeana mawaidha kabla ya mchezo
 Mageta Fc
 Itununu Fc
 Mashabiki kwa raha zao.




0 comments:

Post a Comment