Fahari ya Serengeti

Wednesday, June 6, 2018

MAPESA CUP POLISI YAIBAMIZA IMPALA FC 6-0



Mchezaji wa Timu ya Polisi Fc kulia akijaribu kumtoka mchezaji wa timu ya Impala Fc katika Uwanja wa Sokoine Mugumu Serengeti ikiwa ni mwendelezo wa ligi ya Mapesa Cup,Polisi wameshinda maba0 6-0



 Wachezaji wa Impala Fc wakipata maelekezo wakati wa mapumziko
 Polisi Fc wakipasha mwili joto

 Wanaingia uwanjani
 Wachezaji wa Polisi Fc wakipata maelezo
 Waamzi wakijiweka sawa
 Mechi inaendelea







0 comments:

Post a Comment