Fahari ya Serengeti

Monday, June 11, 2018

DC SERENGETI AFUTURISHA MAKUNDI MBALIMBALI

Makundi ya watu mbalimbali wilayani Serengeti Mkoa wa Mara wakishiriki Futari nyumbani kwa mkuu wa wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Nurdin Babu.
Waalikwa wakiendelea na futari nyumbani kwa mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu

Baadhi ya waumini wa Dini ya Kiislamu wakifuturu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani Nyumbani kwa Mkuu wa wilaya ya Serengeti .

Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu mwenye kanzu nyeupe  akiwakaribisha wageni waalikwa katika Futari nyumbani kwake

Watu wakiendelea kupata Futari

Afisa Uhamiaaji Henry Kilangwa nae alishiriki katika Futari

Dc akiongea na wageni walifika kujumuika naye

Wanawake mbalimbali nao walihakikisha wanafika katika hafla hiyo kupata Futari

Wakiendelea kupata msosi

Watoto nao hawakuwa nyuma kuhakikisha wanashiriki zoezi

Wakiendelea kufuturu

Mkuu wa wilaya Nurdini Babu  kulia akiwashukuru wageni waliofika mara baada ya Kufuru

Shekhe wa wilaya kushito akitoa neno la shukrani kwa waliofika kujumuika kwenye futari nyumbani kwa mkuu wa wilaya Nurdin Babu kulia.







0 comments:

Post a Comment