| Makundi ya watu mbalimbali wilayani Serengeti Mkoa wa Mara wakishiriki Futari nyumbani kwa mkuu wa wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Nurdin Babu. |
| Waalikwa wakiendelea na futari nyumbani kwa mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu |
| Baadhi ya waumini wa Dini ya Kiislamu wakifuturu katika mwezi mtukufu wa Ramadhani Nyumbani kwa Mkuu wa wilaya ya Serengeti . |
| Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu mwenye kanzu nyeupe akiwakaribisha wageni waalikwa katika Futari nyumbani kwake |
| Watu wakiendelea kupata Futari |
| Afisa Uhamiaaji Henry Kilangwa nae alishiriki katika Futari |
| Dc akiongea na wageni walifika kujumuika naye |
| Wanawake mbalimbali nao walihakikisha wanafika katika hafla hiyo kupata Futari |
| Wakiendelea kupata msosi |
| Watoto nao hawakuwa nyuma kuhakikisha wanashiriki zoezi |
| Wakiendelea kufuturu |
| Mkuu wa wilaya Nurdini Babu kulia akiwashukuru wageni waliofika mara baada ya Kufuru |
| Shekhe wa wilaya kushito akitoa neno la shukrani kwa waliofika kujumuika kwenye futari nyumbani kwa mkuu wa wilaya Nurdin Babu kulia. |






0 comments:
Post a Comment