Fahari ya Serengeti

Wednesday, June 6, 2018

SERONGA FC YAANZA KWA USHINDI WA KISHINDO

 Mwenyekiti wa Sefa wilaya ya Serengeti Vedastus Makaranga akikagua timu za Seronga Fc na Kibeyo Fc ambazo zimefungua dimba ligi ya Mapesa Cup ambapo Seronga Fc imeshinda mabao 3-0
 Ukaguzi unaendelea


 Wachezaji wa timu zote mbili wanasalimiana

 Mawaidha kutoka kwa walimu wao








0 comments:

Post a Comment