Fahari ya Serengeti

Thursday, October 12, 2017

WAZEE WA MILA WAZIDI KUWAONYESHEA KIDOLE WATAKAOKEKETA WATOTO

 Wakati ikiadhimisha siku ya mtoto wa Kike na kukemea wanaume wakwale,wazee wa mila wa koo ya Inchugu nao wanazidi kuchanja mbuga maeneo mbalimbali kuwakemea wazazi watakaokeketa watoto wa kike kukiona
 Wanawekeana masharti ,wazee watakaokiuka wenzao kuadhibiwa
 Wanapeana tisheti zenye ujumbe wa kupinga ukeketaji
 Fundi Mitambo akiwa kazini
Anahangaika na mambo yake

0 comments:

Post a Comment