Fahari ya Serengeti

Saturday, October 14, 2017

KATIKA KUMUENZI MWL NYERERE JAMII YATAKIWA KUACHA UJANGILI

 Dc Serengeti  Nurdin Babu wa tatu kutoka kulia akipitia taarifa kabla ya kufungua Kongamano la Wadau wa uhifadhi na Utalii katika Ukumbi wa Kanisa Katoliki  Mugumu,amewataka wananchi kuwafichua watu wanaojihusisha na ujangili kwa kuwa unaathiri Maliasili na pato la Taifa.
Amesema katika kumuenzi hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambaye alikuwa mhifadhi mkuu kila mmoja anatakiwa kuwa mlinzi wa Maliasili zetu.
Kongamano hilo ambalo limeshirikisha wadau wa wa uhifadhi kutoka wilaya za Serengeti ,Meatu na Waandishi wa habari limeandaliwa na Serengeti Media Centre,Frankfurt Zoological na Setco kwa ufadhili wa EU,GRUMET FUND NA SENAPA.
 Washiriki wa mdahalo kutoka taasisi mbalimbali wakifuatilia mijadala
 Wanafuatilia mjadala

Masegeri Tumbuyo toka Frankfurt kwa niabaya waandaji akitoa lengo la kongamano hilo

0 comments:

Post a Comment