Fahari ya Serengeti

Wednesday, October 25, 2017

NMB BENKI YAIKUMBUKA SERENGETI SEKONDARI

Meneja wa NMB Benki Kanda ya Ziwa Abraham Agostino kushoto akikambidhi Katibu Tawala wilaya Serengeti Cosmas Qamara mabati 185 yenye thamani ya sh milioni 5 kwa ajili ya shule ya sekondari Serengeti ,ikiwa ni sehemu ya kusaidia huduma za jamii kama elimu na afya na kurudisha faida yake kwa jamii.
Wanakagua maeneo mbalimbali ya shule kabla ya makabidhiano.
Katibu Tawala kushoto akisalimiana na Mwenyekiti wa bodi ya shule ya Serengeti sekondari Raymond Nyamasagi.
Meneja wa Kanda NMB Benki akitoa nasaha kwa wanafunzi wa serengeti sec kuishika elimu
Wanafuatilia maelekezo toka kwa viongozi.
Wanasoma risala

Das akitoa nasaha

0 comments:

Post a Comment