Fahari ya Serengeti

Tuesday, October 10, 2017

CHANGAMOTO ZA ELIMU ZAIBULIWA

 Wanafunzi wa shule za Msingi za Kata za Mugumu na Stendi Mpya Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakiwa na mabango yenye jumbe mbalimbali wakati wa maadhimisho ya wiki ya elimu,ambapo changamoto za elimu zimeibuliwa ikiwemo upungufu wa vyumba vya madarasa ,walimu na wanafunzi kutokupata chakula cha mchana wawapo shuleni.
Hata hivyo jamii imetakiwa kushirikiana na wataalam kutatua changamoto hizo ikiwemo kuchangia chakula shuleni ili kuwawezesha watoto kushiriki vizuri masomo yao.
 Burudani mbalimbali zikiendelea
 Wanawasilisha ujumbe
 Dc akipata taarifa mmbalimbali za kukabiliana na changamoto za elimu

Wjasiriamali wameitumia fursa hiyo kupata kipato

0 comments:

Post a Comment