Fahari ya Serengeti

Saturday, October 21, 2017

MBUNGE RYOBA ASEMA MFUKO WA JIMBO UNAENDESHWA KWA UWAZI

 Mbunge wa Jimbo la Serengeti Marwa Ryoba amesema fedha za mfuko wa jimbo zinatumika kwa uwazi na zimesaidia kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo na taarifa yake inatolewa kwa wananchi hadharani ikiwa ni tofauti na ilivyokuwa.
Akihutubia mkutano wa hadhara uwanja wa mbuzi amesema ataendelea kuwajulisha wananchi matumizi yake na kuwataka madiwani wote wa Chadema kufanya kazi kwa uwazi na kuwapa wananchi taarifa.
 Wananchi wakiwa wamejipanga mstari kwa ajili ya kuuliza au kutoa kero kwa mbunge wa Jimbo la Sreengeti Marwa Ryoba
 Viongozi wakijadiliana
Baadhi ya wananchi wafuatilia mkutano

0 comments:

Post a Comment