Fahari ya Serengeti

Saturday, October 14, 2017

DC AWAMWAGIA SIFA WAANDAJI WA KONGAMANO

 DC Serengeti Nurdin Babu amewamwagia sifa waandaji wa kongamano la miaka 18 bila Mwalimu Nyerere ambao ni Serengeti Media Centre,Frankfurt Zoological Society,na Chuo cha Utalii Serengeti,kuwa ni kwa mara ya kwanza toka mwalimu Nyerere aage dunia
 watoa mada wakijibu maswali na kupokea michango ya washiriki

Baadhi ya washiriki

0 comments:

Post a Comment