Fahari ya Serengeti

Tuesday, October 17, 2017

MARAFIKI WA ELIMU WADAI RUZUKU HAITUMIKI KAMA ILIVYOPANGWA

 Wadau wa elimu wakifuatilia mrejesho wa Ufuatiliaji wa Marafiki wa Elimu wilaya ya Serengeti juu ya Matumizi ya Fedha za umma kwa shule za Msingi 15 na kumi za sekondari ambapo wamedai fedha za ruzuku na fidia ya ada hazitumiki kwa kazi husika,na utunzaji wa kumbukumbu za fedha ni mbovu.
 Afisa Tarafa ya Grumeti Paul Shanyangi akisisitiza jambo kwa wadau wa elimu kabla ya Marafiki wa elimu hawajatoa mrejesho wao.
 Wanafuatilia
 wanasikiliza kwa makini


0 comments:

Post a Comment