Fahari ya Serengeti

Tuesday, October 24, 2017

IMARISHENI UMOJA KATIKA KUTEKELEZA MIRADI YA JAMII

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa amref health africa Tanzania Mhandisi Mturi James amewataka viongozi kutumia lugha zinazowaleta pamoja wananchi wakati wa uutekelezaji na kuondoa tofauti za kisiasa ambazo zinaweza kuwa kikwazo na kusababisha adha kwa wananchi.
Katika uzinduzi wa mradi wa RAIN unaofadhiliwa na Cocacola  Africa Foundation kwa zaidi ya sh 1.4 katika vijiji 15 kwenye kata nne za Mosongo,Busawe,Kenyamonta na Nyansurura amesema,viongozi wanatakiwa kuachana na lugha za kuwabagua watu kwa mtizamo wa kisiasa kwenye mambo yenye maslahi ya jamii.
"Mkitumia vema siasa mnaweza kuwaunganisha wananchi pamoja na pia mnaweza kuwagawa watu kwa mitizamo ya kisiasa ,binafsi huwa sipendi sana lugha za wanasiasa ,hii inaweza kukwamisha ama kufanikisha miradi kama mtaitumia vizuri,"anasema.
 Anasisitiza.


Ufafanuzi unatolewa

0 comments:

Post a Comment