Fahari ya Serengeti

Tuesday, October 24, 2017

WADAU WASHIRIKI KWENYE ZOEZI LA UZINDUZI WA MRADI WA MAJI

 Picha ya wadau walioshiriki uzinduzi wa Mradi wa RAIN wilaya ya Serengeti unaofadhiliwa na Cocacola Africa Foundation kwa zaidi ya sh 1.4 bil
 Uzinduzi umefanyika
Afisa mauzo wa Cocacola Mkoa wa Mara Shaaban Mshana katikati akiongea na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Hamsini kulia

0 comments:

Post a Comment