Meneja Mradi wa RAIN Mkoa wa Mara Mhandisi Japhet Temu akifafanua utekelezaji wa Mradi wa RAIN ambao unatekelezwa na Amref Health Africa-Tanzania kwa ufadhili wa Cocacola Africa Foundation kwa zaidi ya sh 1.4 bil,Mradi huo utasaidia upatikanaji wa Maji Safi na Salama...
Friday, October 27, 2017
Thursday, October 26, 2017
KUEPUKA MAJANGA YA MOTO WASHAURIWA KUFUNGUA AKAUNTI
Meneja wa NMB Tawi la Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara akielezea wanafunzi wa sekondari ya Serengeti umuhimu wa kufungua akaunti ili kuepukana hasara za kutunzia ndani fedha inapotokea majanga.
Oktoba 26 mwaka jana bweni la wasichana wa shule hiyo liliteketea...
Wednesday, October 25, 2017
NMB BENKI YATATUA TATIZO LA WANAFUNZI TAMUKERI KUKAA CHINI
Meneja wa NMB Benki Kanda ya Ziwa Abraham Agostino kulia akimkabidhi Katibu Tawala wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara madawati 50 yenye thamani ya sh milioni 5 kwa ajili ya shule ya Msingi Tamukeri kata ya Mbalibali,ikiwa ni sehemu ya kurudisha faida kwa jamii.
Viongozi...
NMB BENKI YAIKUMBUKA SERENGETI SEKONDARI
Meneja wa NMB Benki Kanda ya Ziwa Abraham Agostino kushoto akikambidhi Katibu Tawala wilaya Serengeti Cosmas Qamara mabati 185 yenye thamani ya sh milioni 5 kwa ajili ya shule ya sekondari Serengeti ,ikiwa ni sehemu ya kusaidia huduma za jamii kama elimu na afya na kurudisha...
Tuesday, October 24, 2017
WADAU WASHIRIKI KWENYE ZOEZI LA UZINDUZI WA MRADI WA MAJI
Picha ya wadau walioshiriki uzinduzi wa Mradi wa RAIN wilaya ya Serengeti unaofadhiliwa na Cocacola Africa Foundation kwa zaidi ya sh 1.4 bil
Uzinduzi umefanyika
Afisa mauzo wa Cocacola Mkoa wa Mara Shaaban Mshana katikati akiongea na Mkurugenzi Mtendaji wa...
IMARISHENI UMOJA KATIKA KUTEKELEZA MIRADI YA JAMII
Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa amref health africa Tanzania Mhandisi Mturi James amewataka viongozi kutumia lugha zinazowaleta pamoja wananchi wakati wa uutekelezaji na kuondoa tofauti za kisiasa ambazo zinaweza kuwa kikwazo na kusababisha adha kwa wananchi.
Katika...
VIONGOZI LINDENI VYANZO VYA MAJI
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilayaya Serengeti Mhandisi Juma Hamsini amesema chanzo cha Maji cha Bwawa la Manchira kiko hatarini kuharibika kutokana na viongozi kwa kushirikiana na wananchi kuchungia mifugo katika eneo hilo.
Amemwomba mkuu wa wilaya kutumia vyombo...
Saturday, October 21, 2017
MBUNGE RYOBA ASEMA MFUKO WA JIMBO UNAENDESHWA KWA UWAZI
Mbunge wa Jimbo la Serengeti Marwa Ryoba amesema fedha za mfuko wa jimbo zinatumika kwa uwazi na zimesaidia kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo na taarifa yake inatolewa kwa wananchi hadharani ikiwa ni tofauti na ilivyokuwa.
Akihutubia mkutano wa hadhara uwanja...
Tuesday, October 17, 2017
MARAFIKI WA ELIMU WADAI RUZUKU HAITUMIKI KAMA ILIVYOPANGWA
Wadau wa elimu wakifuatilia mrejesho wa Ufuatiliaji wa Marafiki wa Elimu wilaya ya Serengeti juu ya Matumizi ya Fedha za umma kwa shule za Msingi 15 na kumi za sekondari ambapo wamedai fedha za ruzuku na fidia ya ada hazitumiki kwa kazi husika,na utunzaji wa kumbukumbu...