Fahari ya Serengeti

Friday, October 27, 2017

MRADI WA RAIN TANZANIA KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI SAFI NA SALAMA

 Meneja Mradi wa RAIN Mkoa wa Mara Mhandisi Japhet Temu akifafanua utekelezaji wa Mradi wa RAIN ambao unatekelezwa na Amref Health Africa-Tanzania kwa ufadhili wa Cocacola Africa Foundation kwa zaidi ya sh 1.4 bil,Mradi huo utasaidia upatikanaji wa Maji Safi na Salama...

Thursday, October 26, 2017

KUEPUKA MAJANGA YA MOTO WASHAURIWA KUFUNGUA AKAUNTI

 Meneja wa NMB Tawi la Mugumu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara akielezea wanafunzi wa sekondari ya Serengeti umuhimu wa kufungua akaunti ili kuepukana hasara za kutunzia ndani fedha inapotokea majanga. Oktoba 26 mwaka jana bweni la wasichana wa shule hiyo liliteketea...

Wednesday, October 25, 2017

NMB BENKI YATATUA TATIZO LA WANAFUNZI TAMUKERI KUKAA CHINI

 Meneja wa NMB Benki Kanda ya Ziwa Abraham Agostino kulia akimkabidhi Katibu Tawala wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara madawati 50 yenye thamani ya sh milioni 5 kwa ajili ya shule ya Msingi Tamukeri kata ya Mbalibali,ikiwa ni sehemu ya kurudisha faida kwa jamii.  Viongozi...

NMB BENKI YAIKUMBUKA SERENGETI SEKONDARI

Meneja wa NMB Benki Kanda ya Ziwa Abraham Agostino kushoto akikambidhi Katibu Tawala wilaya Serengeti Cosmas Qamara mabati 185 yenye thamani ya sh milioni 5 kwa ajili ya shule ya sekondari Serengeti ,ikiwa ni sehemu ya kusaidia huduma za jamii kama elimu na afya na kurudisha...

Tuesday, October 24, 2017

WADAU WASHIRIKI KWENYE ZOEZI LA UZINDUZI WA MRADI WA MAJI

 Picha ya wadau walioshiriki uzinduzi wa Mradi wa RAIN wilaya ya Serengeti unaofadhiliwa na Cocacola Africa Foundation kwa zaidi ya sh 1.4 bil  Uzinduzi umefanyika Afisa mauzo wa Cocacola Mkoa wa Mara Shaaban Mshana katikati akiongea na Mkurugenzi Mtendaji wa...

IMARISHENI UMOJA KATIKA KUTEKELEZA MIRADI YA JAMII

 Mwakilishi wa Mkurugenzi Mkazi wa amref health africa Tanzania Mhandisi Mturi James amewataka viongozi kutumia lugha zinazowaleta pamoja wananchi wakati wa uutekelezaji na kuondoa tofauti za kisiasa ambazo zinaweza kuwa kikwazo na kusababisha adha kwa wananchi. Katika...

VIONGOZI LINDENI VYANZO VYA MAJI

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilayaya Serengeti Mhandisi Juma Hamsini amesema chanzo cha Maji cha Bwawa la Manchira kiko hatarini kuharibika kutokana na viongozi kwa kushirikiana na wananchi kuchungia mifugo katika eneo hilo. Amemwomba mkuu wa wilaya kutumia vyombo...
Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nudin Babu ameagiza kushughulikiwa kwa watu wanaoharibu vyanzo vya maji na kusababisha shida kwa wananchi. Akizindua Mradi wa Replenish Africa Initiative (RAIN) Unaofadhiliwa na Coca cola Africa Foundation na unatekelezwa na amref health africa...

Saturday, October 21, 2017

MBUNGE RYOBA ASEMA MFUKO WA JIMBO UNAENDESHWA KWA UWAZI

 Mbunge wa Jimbo la Serengeti Marwa Ryoba amesema fedha za mfuko wa jimbo zinatumika kwa uwazi na zimesaidia kuchangia miradi mbalimbali ya maendeleo na taarifa yake inatolewa kwa wananchi hadharani ikiwa ni tofauti na ilivyokuwa. Akihutubia mkutano wa hadhara uwanja...

Tuesday, October 17, 2017

MARAFIKI WA ELIMU WADAI RUZUKU HAITUMIKI KAMA ILIVYOPANGWA

 Wadau wa elimu wakifuatilia mrejesho wa Ufuatiliaji wa Marafiki wa Elimu wilaya ya Serengeti juu ya Matumizi ya Fedha za umma kwa shule za Msingi 15 na kumi za sekondari ambapo wamedai fedha za ruzuku na fidia ya ada hazitumiki kwa kazi husika,na utunzaji wa kumbukumbu...