Fahari ya Serengeti

Tuesday, June 21, 2016

WAUGUZI WA AFYA WAJENGEWA UWEZO WA KUWAKINGA NA UKEKETAJI NA UKATILI WA KIJINSIA AKINA MAMA WANAOWAHUDUMIA KLINIKI KABLA NA BAADA YA KUJIFUNGUA.



Baadhi ya wauguzi wa afya kutoka zahanati na vituo mbalimbali vya afya Wilayani Serengeti Mkoa wa Mara wakiwa kwenye makundi kwa ajili ya kujadili mada mbalimbali zinazohusu madhara ya ukeketaji wakati wa mafunzo ya kuwapa elimu ya kuwakinga na ukeketaji na ukatili wa kijinsia akina mama wanaowahudumia kliniki kabla na baada ya kujifungua kupitia Mradi wa TOKOMEZA UKEKETAJI SERENGETI,unaotekelezwa na AMREF health Africa,LHRC, WIZARA YA AFYA,HALMASHAURI na Wadau mbalimbali  kwa ufadhili wa The United Nations  Entity For Gender Equity and the Empowerment of Women(UN Women) .


 Wahudumuwa afya wakiwa kwenye makundi
 Mganga Mkuu wa wilaya Salum Manyatta akitoa mada ya madhara ya ukeketaji.

 Mjadala unaendelea ili kuhakikisha ukatili wa kijinsia ikiwemo ukeketaji unatokomezawa wilayani Serengeti.
 Kila mmoja anashiriki kupitia makundi
 Ushiriki wa kila kundi ulizingatiwa ili kukuza uelewa wa namna ya kuwahudumia akina mama waliokeketwa na kufanyiwa ukatili wa kijinsia kabla na baada ya kujifungua.






 Mwezeshaji akiaanda ndo

 Ilipobidi kusimama wakati wa mjadala walifanya hivyo kama inavyoonekana.


 Meneja Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti Godfrey Matumu akitoa ufafanuzi wa namna ya kuwasilisha kazi za makundi.
 kila kunmdi likiwasilisha kazi yake.
 Wanafuatilia mada
 Uwasilishaji wa mada



Mjadala unafuatiliwa

0 comments:

Post a Comment