Fahari ya Serengeti

Thursday, June 30, 2016

WAKAZI WA KATA YA BUSAWE WILAYANI SERENGETI WAJENGA KITUO CHA AFYA NA KUKABIDHI HALMASHAURI.

 Kituo cha Afya kilichojengwa na wakazi wa kata ya Busawe wilayani Serengeti waishio nje ya wilaya,kwa kushirikiana na walio katani hapo na halmashauri wamejenga kituo cha afya chenye thamani ya zaidi ya sh 150 mil.na kukabidhi halmashauri kwa ajili ya uendeshaji
 Baadhi ya waliohuska na ujenzi huo wakiwa na uongozi wa wilaya kwa ajili ya kukabidhi jengo na vifaa na lengo lao ni kuhakikisha huduma za upasuaji zinafanyikia hapo.
 Wananchi wakiwa katika majengo ya kituo hicho ambacho kitakuwa kimewapunguzia adha ya kwenda umbali mrefu kupata huduma za afya.
 Viongozi wakijadiliana mambo ya kufanya.
 Dk Geogre mmoja wa watu walioweza ujenzi wa kituo hicho  akitoa maelezo kabla ya kukabidhi vifaa vya afya
 Wakikabidhi vifaa
makabidhiano ya vifaa

0 comments:

Post a Comment