Fahari ya Serengeti

Wednesday, June 22, 2016

WAUGUZI NA WAGANGA WANOLEWA KUHUDUMIA WAATHIRIKA WA UKATILI WA KIJINSIA

 Elimu Popote waganga na wauguzi wakiwa wanajadiliana mbinu mbalimbali za kuwahudumia waathirika wa ukatili wa kijinsia wilayani Serengeti hasa Ukeketaji.
 Mijadala inaendelea sana.
 Hapa mjadala wa kuhusu ukatili wa kijinsia,hali za binadamu unaendelea.

 Mambo yanazidi kuongezeka.



 Mwezeshaji akimwaga sera kwa washiriki,
 Uwasilishaji wa kazi za vikundi vinaendelea
 Pilot akiandaa nondo.




 Mwezeshaji wa mada ya ushauriwa kisaikolojia.



 Dmo Salum Manyatta akiwa anatoa ufafanuzi.

Mtaalam wa Haki za Binadamu

0 comments:

Post a Comment