Fahari ya Serengeti

Thursday, June 30, 2016

KATA YA KYAMBAHI WILAYANI SERENGETI YAVUKA LENGO KATIKA KUCHANGIA MADAWATI

 Afisa Mtendaji wa kata ya Kyambahi wilayani Serengeti Mkome Manyanya akitoa ufafanuzi wa hitaji la madawati kwa sule tatu za msingi katani hapo ambapo madawati yaliyokuwa yakihitajika ni 174 yenye thamani ya zaidi sh 2 mil.lakini  katika harambee hiyo iliyoendeshwa...

WAJITOLEA KUJENGA BWENI ;KUWANUSURU WASICHANA RING'WANI SEKONDARI-SERENGETI

 Ctherine Ruge Katibu wa shirika lisilo la Kiserikali la Girls Education Support Initiatives (gesi)kushoto akiwa ameshikana mkono na baba yake mzazi Ruge na wananchi wa kata ya Magange na Ring'wani wakimpongeza kwa uamzi wake wa kusaidia watoto wa kike katika shule ya...

WAKAZI WA KATA YA BUSAWE WILAYANI SERENGETI WAJENGA KITUO CHA AFYA NA KUKABIDHI HALMASHAURI.

 Kituo cha Afya kilichojengwa na wakazi wa kata ya Busawe wilayani Serengeti waishio nje ya wilaya,kwa kushirikiana na walio katani hapo na halmashauri wamejenga kituo cha afya chenye thamani ya zaidi ya sh 150 mil.na kukabidhi halmashauri kwa ajili ya uendeshaji  Baadhi...

Friday, June 24, 2016

MBUGE YA KUANGAMIZA GUGU LA KIDUHA YAANZA KUSAMBAZWA KWA WAKULIMA WA MAHINDI SERENGETI

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...