Fahari ya Serengeti

Wednesday, August 30, 2017

MRADI WA TOKOMEZA UKEKETAJI SERENGETI WAMWAGA KOMPUTA KWA WADAU

 Meneja wa Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na amref health africa,Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC)Halmashauri na Wadau wengine wilayani humo kwa ufadhili wa UN WOMEN Godfrey Matumu kushoto akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu kulia  Komputa 50 zenye thamani ya Tsh 54 mil kwa ajili ya  wadau mbalimbali ili kuwawezesha kutunza kumbukumbu na kutoa taarifa za matukio ya ukatili wa kijinsia vizuri.
Komputa hizo za mezani na Mpakato zimetolewa kwa taasisi za umma kama Polisi,Mahakama,Elimu Sekondari na shule za msingi ,Utawala ,za dini,mashirika yasiyo ya kiserikali.
 Dc Nurdin Babu kushoto amemkabidhi Ded Juma Hamisni kwa niaba ya wilaya

Wadau wa Mradi wa Tokomeza ukeketaji wakiwa katika picha ya pamoja

0 comments:

Post a Comment