Fahari ya Serengeti

Sunday, August 27, 2017

595 WAPATA KIPAIMARA PAROKIA YA MUGUMU SERENGETI

 Askofu wa jimbo katoliki Musoma Michael Msonganzila akiwa katika picha ya pamoja na Alice Anthony kushoto na Sweetbertha Anthony kulia mara baada ya kutoa kipaimara kwa waumini 595 katika Parokia ya Mugumu,amesisitiza watu kumjua Mungu ,kuishi maisha matakatifu ambayo yanampendeza Mungu.
 Baadhi ya wanafunzi wa Little Flowers wakiwa nje ya kanisa wakisikiliza mahubiri wakati wa misa takatifu ya Kipaimara kanisa Katoliki Mugumu Serengeti.
 Alice Anthony akivishwa taji na Irene muda mfupi baada ya kupata Kipaimara
 Hongereni



0 comments:

Post a Comment