Fahari ya Serengeti

Wednesday, August 9, 2017

WAJITOKEZA MASHINDANO YA MBIO ZA BAISKELI BONANZA LA JUMAPORINI

 Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti Wambura Sunday akizindua mashindano ya Mbio za Baiskeli kata ya Natta ambayo yameandaliwa na diwani wa Kata hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Porini .

Amesema kupitia michezo mbalimbali watu wanaweza kuonyesha vipaji vyao,na kuwa uamzi wa diwani wa kata hiyo kuandaa michezo mbalimbali kunatoa fursa kwa watu kuonyesha vipaji vyao na pia kujenga mahusiano mazuri.
 Baadhi ya washiriki wa mashindano ya mbio za baiskeli wakiwa wanajiandaa kuanza mbio za kilometa tatu.

0 comments:

Post a Comment