Fahari ya Serengeti

Saturday, August 26, 2017

BABA ASKOFU AWASIFU WANAJUMUIYA YA MT.MARIA MAMA WA MUNGU





Baba Askofu wa Jimbo Katoliki Musoma Michael Msonganzila wa tatu toka kushoto amewasifu wanajumuiya ya Mtakatifu Maria Mama wa Mungu  Parokia ya Mugumu Serengeti kwa mshikamano wao walionao katika kusali na shughuli nyingine zinazowahusu,amewahimiza kudumisha umoja huo,huku akikemea wakristo wanaojihusisha na matendo mabaya ambayo yanaharibu sifa yao.wa pili kushoto Paroko Alois Magabe,wa kwanza kulia ni Vedastus Makaranga na masisita

Baba Askofu anamwombea Josephina Bakhita mama mzazi wa Anthony Mayunga ambaye anasumbuliwa na ugonjwa wa sukari na moyo kwa zaidi ya miaka miwili,Mungu aliyefufua watu atamponya na maradhi hayo
Picha ya Pamoja imepigwa
Nyimbo zimeimbwa na kwaya ya Mt.Fransisko wa Asizi


Ibada inaendelea


Anawalisha neno waumini


Wakati wa mageuzo
Pokea mwili wa kristo






0 comments:

Post a Comment