Fahari ya Serengeti

Saturday, August 5, 2017

POLISI FC BINGWA WILAYA YA SERENGETI

 Wachezaji wa Timu ya Polisi wilaya ya Serengeti wakiwa katika picha ya Pamoja baada ya kuchukua ubingwa wa wilaya hiyo .

 Mbunge wa Jimbo la Serengeti Marwa Ryoba akikagua timu ya mpira ya Kibeyo Fc kabla ya kupambana na timu ya timu ya Polisi Fc,hata hivyo timu hiyo iligomea mchezo baada ya kufungwa goli moja na kuifanya timu ya Polisi kutawazwa mabingwa wa wilaya
 Diwani wa Kata ya Kisangura Smason Wambura akimkabidhi zawadi diwani wa kata ya Nyansurura Francis Garatwa akiwakilisha timu ya Nynsurura Fc
 Nahodha wa timu ya Polisi  Fc Samwel Manyero akipokea zawadia  kutoka kwa mgeni rasmi kufuatia timu yake kuibuka mabingwa

0 comments:

Post a Comment