Fahari ya Serengeti

Saturday, August 5, 2017

ROBANDA WAKABIDHI NYUMBA YA POLISI YA ZAIDI YA SH 61 MIL


DC SSerengeti Nurdin Babu akimkabidhi Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara Jafari Mohamed nyumba ya askari Kituo kidogo cha Polisi Robanda iliyojenga na wananchi kwa zaidi ya sh 61 mil ikiwa ni mkakati wa kuimarisha ulinzi.
Nyumba hiyo itakuwa na uwezo wa kuhudumia askari sita na itakuwa imemaliza tatizo la ukosefu wa nyumba kwa askari polisi walioko kituoni hapo.
 Ufunguzi ulifanywa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara

 Picha ya Pamoja ilipigwa baada ya kazi ya makabidhiano na kupongezana kwa kazi kubwa iliyofanyika

 Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Robanda Itabe Nkiri akisoma taarifa ya ujenzi wa nyumba hiyo iliyogharamiwa na kijiji hicho ili kuhakikisha wanaimarisha amani na usalama .

Rpc Mara akiongea na viongozi mbalimbali wa wilaya na kijiji cha Robanda 

0 comments:

Post a Comment