Fahari ya Serengeti

Wednesday, August 9, 2017

BONANZA LA JUMAPORINI NATTA SERENGETI LAWAPAGAWISHA WANANCHI

 Diwani wa Kata ya Natta wilaya ya Serengeti Juma Porini akiongea na wakazi wa Kata hiyo kwenye Bonanza la nane nane lililofanyika uwanja wa Natta Mbisso ,ambapo michezo mbalimbali ikiwemo Mpira wa Miguu,Netboli,mbio za baiskeli,kukimbia na magunia na kufukuza kuku huku wakihanikizwa na vikundi vya ngoma za utamaduni wa makabila ya Wakurya na Watatoga.
 Ngoma ya kikurya ikitumbuiza kwenye bonanza la Juma Porini
 Mashindano ya kufukuza kuku yalinogesha burudani
 Wachezaji wa timu ya Natta netbali

Natta Oyeee anasikika anasema Juma Porini

0 comments:

Post a Comment