Fahari ya Serengeti

Monday, August 21, 2017

WATALII WA NDANI NA WA NJE WAOMBA WANANCHI KUTEMBELEA VIVUTIO

 Baadhi ya watalii wa kutoka nchini Denmark wakiwa katika picha ya pamoja na watalii wa ndani kutoka The Sa Shine English Medium Nursery School Mugumu baada ya kukutana ndani ya hifadhi ya Taifa ya Serengeti na kusisitiza wananchi kujitokeza kutembelea vivuto vya utalii.
Wamesema watanzania hawatakiwi kusoma ama kuangalia vivutio kwenye vyombo vya habari bali wafike ikiwa ni njia pekee ya kukuza pato la taifa.
 Watalii wa ndani na wa nje wakijadiliana mambo mbalimbali.
 Tumetokelezeaaa
 Watalii kutoka Denmark baada ya kuvutiwa na watoto hao wadogo kuanza kufanya utalii ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Serengeti wameamua kuwatunuku zawadi mbalimbali.


Watoto wamepata vitabu ikiwa ni kukuza maarifa ya kujua masuala mbalimbali ya dunia,hakika utalii wa ndani huanza na watoto wadogo.

0 comments:

Post a Comment