Fahari ya Serengeti

Sunday, August 13, 2017

MAPESA CUP,MAGETA FC IMEFANYA YAKE YAISAMBARATISHA KIBEYO FC

 Baadhi ya mashabiki wa mpira wa Miguu  wasiokuwa na kiingilio cha sh 300 wakifuatilia mchezo kati ya Mageta Fc na Kibeyo Fc katika Uwanja wa Sokoine Mjini Mugumu wilaya ya Serengeti katika Ligi ya Mapesa Cup ,katika mchezo huo Mageta Fc imeisambaratisha vibaya Kibeyo Fc kwa mabao 4-2
 Wanafuatilia mchezo
 Wachezaji wa Mageta Fc wakishangilia bao la tatu
 Kila mmoja anataka kushuhudia mpambano huo kwa kwa mbinu mbalimbali
Mambo yanazidi kuongezeka

0 comments:

Post a Comment