Fahari ya Serengeti

Friday, August 11, 2017

MAPESA CUP,ITUNUNU FC KUUMANA NA SUPER EAGLES UWANJA WA SOKOINE MUGUMU


Timu ya Itununu Fc inamentana na Super Eagles leo Uwanja wa Sokoine Mjini Mugumu wilaya ya Serengeti kuwania kombe la Mapesa,katika mchezo wa jana timu za Miseke na Muungano zilitoshana nguvu kwa kufungana mabao 2-2 ,ligi hiyo inayoshirikisha timu 14 imeandaliwa na walimu na mshindi wa kwanza atapata ng'ombe wawili,mshindi wa pili ng'ombe mmoja na mshindi wa tatu mbuzi wawili,pia zawadi mbalimbali zitatolewa kwa mfungaji bora,kipa bora ,mchezaji bora na waamzi wa ligi hiyo,kumbuka kiingilio ni sh 300 kwa kila mtu,wahi nafasi kwa kuwa jukwaa huu linajaa haraka.






0 comments:

Post a Comment