Fahari ya Serengeti

Friday, August 4, 2017

SINGITA GRUMETI FUND YAIPIGA JEKI SHULE ILIYOUNGUA BWENI

 Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu kulia akipokea msaada wa vitanda 15 na magodoro yake kutoka kwa mkuu wa idara ya Maendeleo ya Jamii ya Kampuni ya Singita Grumeti Fund Frida Molel yenye thamani ya sh 7,391,225 ambavyo vitasaidia watoto 30 waliokuwa wakilala chini kufuatia bweni la shule hiyo kuungua oktoba mwaka jana na kuteketeza vitu vingi ikiwemo vitanda.
 Mbunge wa Jimbo la Serengeti Marwa Ryoba akimshukuru Frida Molel kwa msaada huo ambao unapunguza ukubwa wa tatizo kwa watoto wa kike waliokuwa wanalala chini


 Baadhi ya vitanda vikifungwa
 wanakagua mazingira ya shule
wanafuatilia nyimbo kutoka kwa wanafunzi wa serengeti sekondari

0 comments:

Post a Comment