Fahari ya Serengeti

Wednesday, August 2, 2017

MSTU WA AMANI MUHEZA TANGA KIVUTIO KIKUBWA CHA UTALII

 Wahariri wa habari na waandishi waandamizi wakipata maelezo ya Mstu wa asili wa Amani Muheza Mkoa wa Tanga muda mfupi baada ya kuwasili eneo hilo kwa ajili ya kuangalia vivutio vya utalii vilivyomo ikiwemo Mto Zigi na ufugaji wa Vipepeo.
 Timu ya waandishi ikisaka taarifa mbalimbali za mstu wa Amani

 Safari inaendelea
 Watoto wa kijiji cha Kisiwani kilichoko nje ya Mstu wa asili wa amani wakiangalia timu ya waandishi wakipita kuelekea mstu wa amani kwa ajili ya kupata taarifa mbalimbali za uhifadhi na utalii
 Taarifa zinatolewa.
 Mhifadhi wa Mstu wa Asili wa Amani Mwanaidi Kijazi akitoa taarifa mbalimbali za vivutio vilivyomo humo kwa timu ya waandishi wa habari kutoka mikoa mbalimbali hapa Tanzania
 Kila mmoja anatafuta taarifa kwanini hiki kiko hivi ikiwa ni tofauti na maeneo mengine
 Jengo hilo lilitumiwa na wajermani kabla ya uhuru
 Wahenga wanasema mwenda pole hufika ,wanaendelea
 Kuelekea Mto Zigi unapita ndani ya mstu mnene

 Mambo yanaendelea
 Kilimo cha chai na uhifadhi wa mstu unafanywa na jamii ya hapo
 Mambo yanazidi kuongezeka
 Wahenga walisema ,mcheza kwao hutuzwa,wakazi wa Zigi na Kisiwani wakitoa burudani
Mijadala ya wao kwa wao ilichukua nafasi

0 comments:

Post a Comment