Fahari ya Serengeti

Friday, August 4, 2017

WASICHANA WAASWA KUZINGATIA MASOMO

 Mkuu wa idara ya Maendeleo ya Jamii kampuni ya Singita Grumeti Fund Frida Molel akiwaasa wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Serengeti  kuhakikisha wanasoma kwa bidii ili waweze kufikia ndoto zao za maisha.

akikabidhi vitanda 15 na magodoro yake kwa ajili ya wanafunzi 30 wa bweni vyenye thamani ya zaidi ya sh 7.3 mil kwa ajili ya wanafunzi wa bweni amesema,misaada hiyo iwe chachu ya kufanya vizuri kwa kuwa jamii na wadau mbalimbali wanawatarajia waweze kusoma kwa makini wakiacha matendo ya ngono kwa kuwa athari yake ni kubwa.



0 comments:

Post a Comment