Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akielezea umuhimu wa Mpango wa Matumizi ya Ardhi kwa vijiji .mji na Taifa wakati akizindua Uaandaji wa Mpango wa wa Matumizi Bora ya Ardhi wa wilaya ya Serengeti ambao unafadhiliwa na Serikali ya Ujermani kupitia...
Thursday, November 30, 2017
Tuesday, November 28, 2017
KATIKA KUIMARISHA UWEZO MRADI WA RAIN WAWAJENGEA UWEZO WA MAFUNDI WA MAJI
Katika kuhakikisha usimamizi imara wa Miradi ya Maji vijijini ,Mradi wa RAIN unaotekelezwa na amref helath africa na Halmashauri ya wilaya ya Serengeti kwa ufadhili wa COCACOLA AFRICA FOUNDATION umewajengea uwezo wa kitaalam mafundi wanaotoka kamati za maji za...
9 WAFUNGWA KWA MAKOSA YA KUKUTWA NA NYARA ZA ZAIDI YA SH 107 MIL
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mfawidhi wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara imewahukumu kila mmoja miaka 20 washitakiwa 9 katika kesi nne tofauti baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya uhujumu uchumi.
Hakimu wa Mahakama hiyo Ismael Ngaile ametoa hukumu hiyo baada ya kuridhishwa...
SIKU 16 ZA KUPINGA UKEKETAJI WANAFUNZI SERENGETI WAFUNGUKA KUPINGA UKEKETAJI.
Afisa Ustawi wa Jamii wilaya ya Serengeti Maria Mchala akiwajengea uwezo wa kujitambua na kujisimamia katika maamzi wanafunzi wa Kisangura sekondari ili kuepukana na vikwazo vinavyoweza kusababisha wasifikie ndoto zao kielimu kama mimba,ukeketaji na ndoa za utotoni.
Katika...
Wednesday, November 22, 2017
VIPANDE VYA NYAMA YA NYUMBU VYA MPELEKA GEREZANI MIAKA 20

MIAKA 20 KWA KUKUTWA NA NYAMA KAVU ZA NYUMBU
Mwita Mwikwabe Chacha
(42)mkazi wa kijiji cha Machochwe wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara amehukumiwa
kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kukutwa na vipande 70 vya nyama kavu ya nyumbu
vyenye thamani ya zaidi ya Tsh 56.8...
ALAMBA MIAKA 20 KWA KUKUTWA NA MENO YA TEMBO
MIAKA 20 JELA KWA KUKAMATWA NA MENO YA TEMBO
Zakaria Wambura(52) Mkazi wa Kijiji cha
Nyansurura wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara amehukumiwa kifungo cha miaka
20 jela kwa kukutwa na meno mawili ya tembo yenye thamani ya Tsh 22.5 milioni.
Akitoa hukumu katika...
SERA YA ELIMU BILA MALIPO HAIJAELEWEKA
Wadau wa Elimu Ikoma Sekondari wilaya ya Serengeti wakiwa kwenye mjadala wa wazi ulioendeshwa na Marafiki wa Elimu wilayani humo ambao umeibua changamoto mbalimbali za elimu ikiwemo wazazi kutokuelewa maudhui ya sera ya Elimu msingi bila Malipo,na wamegoma kuchangia chakula...
Sunday, November 12, 2017
SANAA NURU WATIKISA MJI WA BUTIAMA KWA SANAA
Kikundi cha Nuru Sanaa kutoka Mugumu Serengeti wametikisa mji wa Butiama kwa burudani mbalimbali wakati wa Uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti wa Elimu uliofanywa na Twaweza -Uwezo mwaka 2015,miongoni mwa burudani zilizokonga nyoyo za wakazi wa mji huo ni ngoma ya Ritungu
Timu...
MGAO WA WALIMU UFANYIKE KWA UWIANO-ASKOFU
Askofu wa Kanisa la Anglikan jimbo la Musoma Dk George Akoth ameitaka serikali kugawa walimu kwa uwiano ili kukabiliana na changamoto za watoto kutokujua kusoma na kuandika.
Askofu huyo ambaye ni Mratibu wa Mpango wa Taweza Uwezo Mkoa wa Mara amesema hayo wakati wa...
Saturday, November 11, 2017
KILA SHULE BUTIAMA KULIMA EKARI MBILI ZA CHAKULA CHA WANAFUNZI
Afisa Mtendaji wa Kata ya Butiama Hamisi Warioba Kwa niaba ya Dc wa Butiama Anarose Nyamubi akizindua ripoti ya utafiti wa elimu iliyofanywa na Twaweza kupitia Uwezo Mwaka 2015 wilaya ya Butiama na kubaini wanafunzi kutopata chakula ama uji kunachangia kuporomoka kwa...
CHANGAMOTO ZA ELIMU ZAIBULIWA NA RIPOTI YA TWAWEZA BUTIAMA
Akizindua Ripoti ya Utafiti ya mwaka 2015 iliyofanywa na Twaweza chini ya Mpango wa
Uwezo Mratibu wa Mradi huo wilaya ya Butiama Apaisaria Kiwori amesema,walibaini asilimia 22 ya wanafunzi wa darasa la saba hawawezi kusoma hadithi ya Kiswahili...
Wednesday, November 8, 2017
MARAFIKI WA ELIMU WAWAKUTANISHA WADAU KUJADILI CHANGAMOTO ZA ELIMU
Mratibu wa dawati la Jinsia la Polisi wilaya ya Serengeti Paul Pareso akielezea shughuli za dawati la polisi kwa upande wa ukatili wa kijinsia wakati wa mjadala uliowashirikisha wazazi,walezi walimu wa shule ya msingi Mugumu B,ulioandaliwa na Marafiki wa Elimu Serengeti
Mratibu...