Fahari ya Serengeti

Wednesday, August 30, 2017

MRADI WA TOKOMEZA UKEKETAJI SERENGETI WAMWAGA KOMPUTA KWA WADAU

 Meneja wa Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na amref health africa,Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC)Halmashauri na Wadau wengine wilayani humo kwa ufadhili wa UN WOMEN Godfrey Matumu kushoto akimkabidhi Mkuu wa wilaya ya Serengeti Nurdin Babu...

Sunday, August 27, 2017

595 WAPATA KIPAIMARA PAROKIA YA MUGUMU SERENGETI

 Askofu wa jimbo katoliki Musoma Michael Msonganzila akiwa katika picha ya pamoja na Alice Anthony kushoto na Sweetbertha Anthony kulia mara baada ya kutoa kipaimara kwa waumini 595 katika Parokia ya Mugumu,amesisitiza watu kumjua Mungu ,kuishi maisha matakatifu ambayo...

Saturday, August 26, 2017

BABA ASKOFU AWASIFU WANAJUMUIYA YA MT.MARIA MAMA WA MUNGU

Baba Askofu wa Jimbo Katoliki Musoma Michael Msonganzila wa tatu toka kushoto amewasifu wanajumuiya ya Mtakatifu Maria Mama wa Mungu  Parokia ya Mugumu Serengeti kwa mshikamano wao walionao katika kusali na shughuli nyingine zinazowahusu,amewahimiza kudumisha...

ASKOFU MSONGANZILA AHIMIZA WANAJUMUIYA KUISHI MAISHA YA KIKRISTO

 Askofu Michael Msonganzila wa Jimbo Katoliki la Musoma akiongea na Josephina Bakhita wa Jumuiya ya Mtakatifu Maria Mama wa Mungu Parokia ya Mugumu wilaya ya Serengeti baada ya kusali misa katikaJumuiya hiyo na kumwombea na kumpa baraka mama huyo ambaye anasumbuliwa na...

Thursday, August 24, 2017

WAZEE WA MILA KOO YA INCHUGU YATOA TAMKO

Baadhi ya wazee wa koo ya Inchugu kata ya Machochwe wilaya ya Serengeti wakiweka sahihi ya makubaliano ya  kuachana na ukeketaji katika koo hiyo ,uamzi huo umefikiwa na kutangazwa kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nyamakendo. Wasanii wa Nuru Sanaa wakitoa...

Wednesday, August 23, 2017

WAZIRI APOKEA MRADI WA NYUMBA ZA SH 1.4 BILIONI

Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa Jumanne Maghembe  kushoto,Balozi wa Ujermani nchini Tanzania  Dk Detlef Wachter katikati na Afisa Ujilani Mwema shirika la Frankfurt Zoological Society Masengeri Tumbuyo kulia wakikata utepe kama ishara ya kuzindua nyumba nne...