Fahari ya Serengeti

Thursday, February 1, 2018

WANANCHI 1300 WANUFAIKA NA MKURABITA ROBANDA NA MAKUNDUSI

 Mkuu wa wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Nurdin Babu akizindua semina ya Mkurabita katika kijiji cha Robanda wilaya ya Serengeti ambapo wananchi 1300 watanufaika na Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara ya wanyonge.
Meneja Urasimishaji Rasilimali ardhi (Mkurabita)Anthony Temu amesema lengo kuu ni kuwawezesha wanaomiliki raslimali ardhi na Biashara katika sekta isiyo kidhi matakwa ya Sheria (mfumo usio rasmi)kuingia sekta rasmi ili kushiriki kikamilifu katika mfumo wa kisasa,

0 comments:

Post a Comment