Fahari ya Serengeti

Thursday, February 8, 2018

MATUMIZI YA MAJI YASIYOSAFI NA SALAMA CHANZO CHA MAGONJWA

 Wanafunzi wa shule ya Msingi Gantamome kata ya Busawe wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara wakiwa na mmoja wa wakazi wa kijiji hicho wakiangalia kisima cha maji ambayo wanatumia kunywa ingawa si safi na salama na inadaiwa ni chanzo cha ongezeko la magonjwa yanayosababishwa na maji,hata hivyo Mradi wa RAIN unaotekelezwa na Amref Health Africa kwa ufadhili wa Coca cola Foundation.

 Wanachota maji
 Murojo Malembo afisa toka Halmashauri ya wilaya ya Serengeti akisisitiza utunzaji wa vyanzo vya maji.
 Wanachora mipaka ya kijiji
 Wanafunzi wa Nyabihore sec wakiangalia ramani

 Elimu inatolewa



0 comments:

Post a Comment