Fahari ya Serengeti

Saturday, February 17, 2018

KARIBU SERENGETI WAZIRI

 Dc Serengeti Nurdin Babu kulia akimkaribisha Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prjofesa Makame Mbawala baada ya kuwasili daraja la Kimkakati la Mto Mara kwa ajili ya kuangalia utekelezaji wa shughuli,daraja hilo lilianza kujengwa februari 2017 na linatarajiwa kukamilika aprili mwaka huu ,limegharimu zaidi ya sh 6.8 bil
 Salaam zinaendelea
 Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Serengeti Juma Porini akimkaribisha Waziri Mbawala
 Waziri Mbawala akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Serengeti Marwa Ryoba

 Rc Kigoma Malima akijadili jambo na dc Nurdin Babu
Ukaguzi

0 comments:

Post a Comment