Fahari ya Serengeti

Monday, February 26, 2018

KATIKA KUHAKIKISHA WAFUNGWA WANAPATA TAARIFA MBUNGE AWAPA KING'AMUZI NA TV

 Mbunge wa jimbo la Serengeti Marwa Ryoba akikabidhi  king'amuzi na Tv Msaidizi wa gereza mahabusu Mugumu kwa ajili ya wafungwa na mahabusu ikiwa ni katika kutimiza haki ya kupata taarifa ,msaada huo una thamani ya sh 650.000=
 Askari magareza wakielezea jinsi msaada huo utakavyowasaidia mahabusu na wafungwa kupata taarifa mbalimbali za ndani na nje ya nchi
 Anakabidhi dish la Azam
Wanapokea zawadi

0 comments:

Post a Comment