Fahari ya Serengeti

Monday, February 26, 2018

MIFUGO MARUFUKU MAENEO YA UHIFADHI

 Boniphace Chacha meneja wa Shamba la Mifugo la Vedastus Mathayo kushoto akimwomba radhi Marongoli anayemiliki eneo ambalo linatumika kwa utalii wa asili katika kijiji cha Bokore wilaya ya Serengeti baada ya kubainika kuingiza mifugo katika eneo hilona kuharibu mazingira na uoto wa asili.
Uamzi wa kuomba radhi umefikiwa baada ya Dc kubaini kuwepo ukiukwaji wa taratibu na kusababisha mgogoro kati yao,ambapo ameahidi kumkamata kama itabainika mifugo yao inaingia eneo lililohifadhiwa.
 Wanamsikiliza mkuu wa wilaya Nurdin Babu
 Tupatane majilani inaonekana Chacha akiomba baada ya kubainika mifugo yake kuingia eneo la uhifadhi mara kwa mara

0 comments:

Post a Comment