Fahari ya Serengeti

Friday, February 2, 2018

WANANCHI WATAKIWA KUFUATA TARATIBU ZA KISHERIA WANAPOTAFUTA HAKI

 Hakimu Mkazi Mfawidhi wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara Ismael Ngaile amewataka wananchi kufuata taratibu za kisheria wanapokuwa wanatafuta haki ili mamlaka husika ziweze kuchukua hatua stahiki.

Amesema anashangazwa na wananchi kuwasilisha matatizo yao ya kisheria kwa njia ya mabango wanapofika viongozi badala ya kwenda kwenye mamlaka husika husika,hata hivyo amewataka watendaji wa mahakama kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa kuzingatia maadili.
 Dc Serengeti Nurdin Babu ameitaka mahakama kuendelea kutoa adhabu kali kwa watu wanaokamatwa kwa makosa ya ujangili,majambazi na wanaojichukulia sheria mikononi .

 Wanawahi


0 comments:

Post a Comment