Fahari ya Serengeti

Tuesday, February 13, 2018

MTUHUMIWA TOKA NCHI JILANI YA KENYA ANASWA NA AK AKIJIANDAA KUINGIA HIFADHI YA SENAPA


 Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mara Juma Ndaki akiwa ameshukilia bunduki ya kivita aina ya AK 47 ambayo inadaiwa kukamatwa  na Polisi kwa kushirikiana na askari wa Senapa katika kijiji cha Machochwe wilaya ya Serengeti na risasi 27 zilizokuwa ndani ya Magazine,katika tukio hilo wamekamatwa watu wawili mmoja akiwa ni Raia wa Kenya na mwingine Tarime,inadaiwa walikuwa wanajiandaa kuingia ndani ya hifadhi hiyo kwa ajili ya kufanya ujangili wa Tembo.



 Bunduki iliyokamatwa na risasi zake.



Baadhi ya askari Polisi wakiangalia Magazine na risasi zake.

0 comments:

Post a Comment