Fahari ya Serengeti

Saturday, February 17, 2018

WAZIRI MBALAWA AWATAKA MAKANDARASI KUFANYA KAZI NZURI

 Meneja Tanroad Mkoa wa Mara Felix Ngaile akimwonyesha Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbawala eneo la daraja la Mto Mara linalotenganisha wilaya za Serengeti na Tarime linalojengwa na Kampuni za wazawa Gemen Engineering Company na Mayanga kwa zaidi ya sh 6.8 bil.
Amewataka kuhakikisha wanakamilika kazi hiyo mwezi aprili mwaka huu ikiwa ni pamoja na lami mita 90 kila upande.
 Ukaguzi una
 Waziri Mbawala akipata maelezo ya utekelezaji wa Mradi toka kwa Mkurugenzi wa kampuni ya Gemen Engineering Co. Mhandisi Andrew Nyantori jinsi wanavyotekeleza kazi hiyo.
 Anaeleza

Anasisitiza kuwa kazi itakamilika

0 comments:

Post a Comment