Fahari ya Serengeti

Thursday, February 8, 2018

TUJIKUMBUSHE MATUKIO SIKU BIASHARA UNITED INAPANDA LIGI KUU

 Miongoni mwa mambo yaliyokuwa kivutio ni huyo ndugu aliyevaa sura iliyowaacha wengi na maswali mengi
 Dc Musoma akiwa na baadhi ya watu waliokuwa wakizunguka uwanja kama watu wa tamaduni,kamati ya ufundi,ingawa inadaiwa ilikuwa ni mbinu za ushindi.
 Anashangilia
 Mshike mshike uwanjani ,mashabiki wakishangilia baada ya kipenga cha mwisho kupulizwa

 Kila mmoja kivyake lakini anashangilia
 Kazi imekwisha sasa ligi kuuuuu
Biashara United Ligi KUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU

0 comments:

Post a Comment