Fahari ya Serengeti

Monday, February 26, 2018

WACHIMBAJI WADOGO WAHITAJI MSAADA WA VIFAA VYA KISASA

 Dc Serengeti Nurdin Babu akiangalia kazi ya uuchenjuaji dhahabu katika mgodi wa Nemic ulioko Nyigoti ,hata hivyo kazi hiyo inakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa vifaa vya kisasa ikiwemo vifaa vya kujikinga kwa wanaohusika.
 Akina mama wakiponda mawe kwa  ili yapelekwe kwenye karasha, kazi hiyo wanalipwa kwa kutwa kati ya sh 4,000 hadi 10,000 kulingana na idadi ya karai.
 Kutokana na ugumu wa kazi akina mama hao huchoka kama anavyoonekana mmoja wao.



 Kazi ni kazi tu haiangalii mwanamke ama mwanamme .


 Wanachungulia kama kuna mabaki ya dhahabu
 Katika eneo hilo wanatumia kemikali aina ya zebaki ambayo ni hatari kwa viumbe hai,hata hivyo wanafanya kazi katika eneo hilo hawapewi vifaa vya kujikinga dhidi ya kemikali hiyo.

 Raphael Mwera akitoa ufafanuzi wa jinsi kazi hiyo inavyofanyika.


 Kazi inaendelea
Akina mama nao wamo,huyo ndiye anaongoza mtambo huo.

0 comments:

Post a Comment