Fahari ya Serengeti

Thursday, March 8, 2018

SIKU YA WANAWAKE DUNIANI WAZEE WA MILA NA NGARIBA WAONYWA

 Katibu Tawala wilaya ya Serengeti Cosmas Qamara akitoa maelezo kabla ya kumkabidhi Ngariba Mstaafu Christina Marwa cherahani katika maadhimisho ya siku ya mwanamke duniani yaliyofanyika kijiji cha Nyansurura,jumla ya vyerahani vinne vimetolewa na shirika la Matumaini Mugumu vikiwa na thamani ya sh 320,000.
 Das amesema wazee wa mila na ngariba watakaojihusisha na ukeketaji hawataachwa salama mwaka huu.
 Wp Sijali wa Dawati la Jinsia la Polisi akisisitiza wananchi kuwapa ushirikiano kuwafichua watu wanaojihusisha na ukatili wa kijinsia
 Das Serengeti  akimkabidhi ngariba mstaafu Christina Marwa Cherahani

 Mmoja wa watoto waliohifadhiwa kituo cha Matumaini akipata cherahani





 Meneja wa Mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti unaotekelezwa na amref health tanzania Godfrey Matumu akielezea jinsi ambavyo wamejipanga kukabiliana na wale watakaojihusisha na ukeketaji mwaka huu.



0 comments:

Post a Comment