Fahari ya Serengeti

Wednesday, March 21, 2018

WANAHITAJI MEZA YA KUUZIA VYAKULA

 Baadhi ya wauza viazi ,matunda na mboga nje ya soko la Mugumu wilaya ya Serengeti jioni hulazimika kutandika chini bila kuzingatia mahitaji ya kiafya,hata hivyo wanaomba Mamlaka ya mji mdogo kuharakisha ujenzi wa miundombinu ya eneo maalum la kutolea huduma hiyo muhimu kwa afya za walaji.
 Biashara inaendelea

 Biashara mchanganyiko inaendelea
Wanahitaji soko maalum

0 comments:

Post a Comment