Fahari ya Serengeti

Wednesday, March 21, 2018

UANDIKISHAJI WA VYETI VYA KUZALIWA

Uandikishaji wa vyeti vya kuzaliwa ofisi ya afisa mtendaji wa kata ya Stendi Kuu wilaya ya Serengeti Mkoa wa Mara ukiendelea kama inavyoonekana.
Wananchi wakisubiri huduma ya kuandikisha watoto wenye umri wa  chini ya miaka mitano
Wanasubiri huduma


0 comments:

Post a Comment