Fahari ya Serengeti

Wednesday, March 21, 2018

NGARIBA AMWAGA MANYANGA

Ngariba Esther Bhoke mkazi wa Kitongoji cha Nyamihuru Kijiji cha Kitarungu kata ya Nyansurura wilaya ya Serengeti amebwaga manyanga na kusalimisha mikoba yake ambayo imeteketezwa hadharani chini ya Mchungaji wa kanisa la Kmt Mugumu  Cliford Msyangi na kushuhudiwa na watu mbalimbali katika ofisi za amref health tanzania.
NgaribaEsther  kulia akiwa na ngariba mstaafu Christina Marwa
Mchungaji Msyangi akifafanua maandiko ya Mungu kuhusu dhambi ya ukeketaji kabla ya kumwongoza sala ya toba.
Mchungaji Msyangi akimwongoza ngariba aliyebwaga manyanga sala ya toba
Baadhi ya mikoba ya ngariba

Mikoba inateketezwa hadharani
wanateketeza mikoba
wanashuhudia mikoba ikiteketezwa


Meneja amref Godfrey Matumu akiongea na Mchungaji Msyangi ofisini mwake ,kushoto ni afisa mradi wa Tokomeza Ukeketaji Serengeti William Mtwazi.

0 comments:

Post a Comment