Fahari ya Serengeti

Wednesday, March 21, 2018

UJENZI WA KITUO CHA AFYA WASHIKA KASI

 Dc Serengeti Nurdin Babu watatu kutoka kulia akiwa na baadhi ya viongozi wa wilaya hiyo baada ya kufanya ziara ya kustukiza kwa lengo la kufuatilia kazi ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Natta kupitia fedha zaidi ya sh 400 mil zilizotolewa na serikali.
 Anasisitiza ujenzi mzuri na kuwa hawatawavumilia mafundi na wasimamizi watakao kwenda kinyume na masharti yaliyowekwa.
 Mafundi wakiendelea na kazi
 Akina mama hawakubaki nyuma




2 comments:

  1. Hongera serengeti media centre crew kwa habari motomoto zenye kukidhi vigezo,professionalism starts here

    ReplyDelete
  2. Afya njema huenda ikawa kigezo cha kwanza katika maisha ya binadamu shukrani za dhati ziwafikie viongozi wa serikali, wananchi na jamii kwa ujumla kwa kuonesha kuguswa na ukosefu wa kituo cha kutolea huduma za afya katika kijiji cha Natta na kujitoa kwa kila mmoja kadri ya uwezo wake katika ushiriki wa ujenzi wa kituo hicho_SERENGETI SHALL NEVER DIE.

    ReplyDelete